A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #

EUNIA SIMBAGOYE lyrics : "Sifa"

Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako
Sifa sifa sifa

Na utukufu ni vyako

Bwana ni mwokozi wangu

Bwana ni nulu yangu
Bwana Jehova jile
Mimi ninakupenda


Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako

Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako


Mimi nina!@$&buka
Upendo wako wa ajabu
Urimtowa mwana wako wapekee

Kuja kuniokowa
Sitachoka kukuimbia
Mpaka siku ya mwisho

Yesu nikuone
Mungu wa Nazareth


Sifa sifa sifa (sifa zako baba)
Na utukufu ni vyako(yesu)
Sifa sifa sifa (sifa zako Yesu)

Na utukufu ni vyako
Sifa sifa sifa( uuu sifa zako Yesu)
Na utukufu ni vyako

(oh)Sifa sifa sifa (sifa zako Yesu)
Na utukufu ni vyako



Tutaimba tutacheza tuki muona yesu
Tukimuon' alie tufia msalaba

Tutaimba tutacheza tukimuona yesu
Mataifa nayo yatakusanyika,
Tutimba( wa china) tutacheza ( Australia,) tukimuona Yesu ( Tanzania Burundi na Rwanda)

Tutaimba (tutakusanyika) tutacheza (tukiimba) tukimuona Yesu
Ooh tutaimba!
Tutaimba (uuuu) tutacheza tukimuona yesu

Ooh tutaimba
Tutaimba (tutacheza) tutacheza (hallelujah)tukimuona yesu
(Oh tutaimba)Tutaimba ( imba imba imba) tutacheza (tutacheza)tukimuona yesu

(Oh tutacheza ) tutaimba ? oh? tutacheza tutacheza tukimuona Yesu
Ye ye ye ye tutaimba tutaimba tutacheza tutacheza kwafuraha tukimuona Yesu


Uuuu ye yeaaaaaa... uuuu
Wo wo wo wo wo wo wo woooo
Tutaimba, tutaimba, tukimuona

ooooh Ye Ye Ye Ye Ye Ye Ye Ye Yesu?.
Tutakuimbiya... Hallelujah!

Submit Corrections