A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #

BEN POL lyrics : "JIKUBALI"

Verse1;
Unaweza kuwa Doctor, unaweza kuwa Star
Unataka kuwa Linah, unaweza kuwa Shaa

Kipaji Mali yako, Elimu Ngao yako
Usiache jambo Kati kwenye maisha yako
Unaweza kuwa Diamond, unaweza kuwa Jay

Unaweza kuwa JB, unaweza kuwa Ray
Mi Nakuasa it's your time,
Huwezi kuwa chini you've got somethin' special

Unampenda Lady Jay dee unamzimia Zitto
Trust me iko siku utatimiza ndoto yako
You can be a Boss, you can be a Lawyer

You can be the President
You'll be successful


Chorus;
Wakati wako ndio leo (leo)
Kutimiza malengo yako,

Nakusihi Anza sasa (sasa)
Jishughulishe utapata (rudia mara mbili)


Verse 2;
Utavunja vunja miamba, hamisha milima
Vikwazo lazima nawe usirudi nyuma

You'll be a hero, you can be the best
You can be a leader (dedicate yourself)
Tanzania ni yako, penda watu wako

Kuwa mfano bora kwenye jamii yako
Star Kama AY , kufika alipo FA
Inawezekana if you work hard in it

Na utafika mbali utazame ulikotoka
Mbunifu mwenye hadhi kama Hadija Mwanamboka
Unaweza kuwa rubani, unaweza Hakimu

Unataka kuwa Salama, unaweza kuwa Hasheem'

(Rudia chorus)


(Bridge)
You can be a champion (Jikubali)

You can be a teacher (Jikubali)
You can be a leader (Jikubali)


You can be a Preacher (Jikubali)

Submit Corrections